Mikoa ya Senegal
(Elekezwa kutoka Regions of Senegal)
Mikoa ya Senegal ni ngazi ya kwanza ya ugatuzi nchini Senegal katika Afrika ya Magharibi. Senegal imegawanywa katika mikoa 14 (kwa Kifaransa: régions). Kila mkoa unasimamiwa na halmashauri yake (Conseil Régional) ambayo wajumbe wake wanachaguliwa na wananchi kwenye ngazi ya tarafa.
Ngazi ya pili ya ugatuzi ni wilaya (departements) 45, tarafa (arrondissements) 103 (ambazo hazina kazi ya kiutawala) na maeneo ya jumuiya za kieneo (collectivités locales) ambazo huchagua maafisa wa utawala.
Orodha ifuatayo inaonyesha mikoa ya Senegal pamoja na idadi ya wakazi kufuatana na sensa ya mwaka 2013.[1]
Mkoa | Makao makuu | Eneo (km²) | Wakazi (sensa 2013) |
---|---|---|---|
Dakar | Dakar | 547 | 3,137,196 |
Ziguinchor | Ziguinchor | 7,352 | 549,151 |
Diourbel | Diourbel | 4,824 | 1,497,455 |
Saint-Louis | Saint-Louis | 19,241 | 908,942 |
Tambacounda | Tambacounda | 42,364 | 681,310 |
Kaolack | Kaolack | 5,357 | 960,875 |
Thiès | Thiès | 6,670 | 1,788,864 |
Louga | Louga | 24,889 | 874,193 |
Fatick | Fatick | 6,849 | 835,352 |
Kolda | Kolda | 13,771 | 714,392 |
Matam | Matam | 29,445 | 562,539 |
Kaffrine | Kaffrine | 11,262 | 566,992 |
Kédougou | Kédougou | 16,800 | 152,357 |
Sédhiou | Sédhiou | 7,341 | 452,944 |
Marejeohariri
- ↑ Senegal: Administrative Division, tovuti ya Citypopulation.de, iliangaliwa Januari 2022
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoPasakaPasaka ya KikristoAlhamisi kuuAngkor WatOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoFasihi simuliziUbuntuOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaNgeli za nominoTanzaniaFasihiShairiIjumaa KuuMikoa ya TanzaniaLughaHomanyongo CJumuiya ya Afrika MasharikiKamusi za KiswahiliMofimuAina za manenoVivumishiModule:ArgumentsUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaSilabiNembo ya TanzaniaKiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaDiamond PlatnumzOrodha ya makabila ya TanzaniaMaumivu ya kiunoOrodha ya Watakatifu WakristoKitenziDuniaKumaVitendawiliTamthiliaIndonesiaTafsiriNominoTendo la ndoaSentensiUandishi wa ripotiTanganyikaUwanja wa Taifa (Tanzania)Orodha ya nchi za AfrikaNguzo tano za UislamuHistoria ya KanisaNomino za pekeeYouTubeMuhammadHistoria ya KiswahiliJohn MagufuliVieleziBaike: Msaada wa kuanzisha makalaAmri KumiMaalum:MabadalikoyaKaribuniMbooWasukumaMshororoMawasilianoKisaweHafidh AmeirFasihi andishiTarakilishiDizasta VinaLigi ya Mabingwa AfrikaBendera ya TanzaniaSiku tatu kuu za PasakaSimba S.C.Young Africans S.C.UkimwiOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaOrodha ya Marais wa TanzaniaOrodha ya Magavana wa TanganyikaKiraiBaike: AboutOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaTashdidiKitenzi kishirikishiStadi za lughaAsili ya KiswahiliJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaRamaniHistoria ya AfrikaAfrika ya Mashariki ya KijerumaniWilaya za TanzaniaMisimu (lugha)WachaggaMfumo wa JuaAgano la KaleKamusi ya Kiswahili sanifuMziziKwaresimaNomino za dhahaniaKamusiTabianchiAlama ya uakifishaji