Rasi ya Kaskazini

Rasi Kaskazini
Northern Cape
Noord-Kaap
Mntla-Koloni
(Nembo la Rasi Kaskazini)
Mahali pa Rasi Kaskazini
Mji MkuuKimberley
’‘‘Mji Mkubwa’’’Kimberley
Waziri MkuuSylvia Lucas (ANC)
Eneo
Nafasi kati ya majimbo
- Jumla


ya 1
361,830 km²
Wakazi
Nafasi kati ya majimbo
 - Jumla (2001)
 - Msongamano wa watu

ya 9
822,726
2/km²
LughaKiafrikaans (70%)
Kitswana (20%)
Kixhosa (6.5%)
Wakazi kimbariChotara(51.6%)
Waafrika Weusi(35.7%)
Wazungu (12.4%)
Wenye asili ya Asia(0.3%)
edit

Rasi Kaskazini ni moja kati ya majimbo 9 ya Afrika Kusini lenye takriban 30% ya eneo la taifa lote. Imepakana na Atlantiki, Botswana na Namibia. Jimbo liliundwa 1994 wakati wa kugawa jimbo la Rasi la awali. Mji mkuu ni Kimberley.

Miji mingine muhimu ni Upington, Carnarvon, Colesberg, De Aar, Kuruman na Springbok.

Hata kama Rasi Kaskazini ni jimbo lenye eneo kubwa katika Afrika Kusini ni vilevile jimbo lenye watu wachache. Wastani ni wakazi wawili kwa kilomita ya mraba tu.

Hali ya hewa ni kavu hivyo kilimo hailishi watu wengi. Mto Oranje unapita katika jimbo na kuwezesha wakulima wa mizabibu karibu na Upington kumwagilia mashamba yao. Sehemu kubwa ya eneo la jimbo ni Karoo.

Viungo vya Njehariri

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Rasi ya Kaskazini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


WikiMedia Commons


🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoPasakaPasaka ya KikristoAlhamisi kuuAngkor WatOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoFasihi simuliziUbuntuOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaNgeli za nominoTanzaniaFasihiShairiIjumaa KuuMikoa ya TanzaniaLughaHomanyongo CJumuiya ya Afrika MasharikiKamusi za KiswahiliMofimuAina za manenoVivumishiModule:ArgumentsUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaSilabiNembo ya TanzaniaKiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaDiamond PlatnumzOrodha ya makabila ya TanzaniaMaumivu ya kiunoOrodha ya Watakatifu WakristoKitenziDuniaKumaVitendawiliTamthiliaIndonesiaTafsiriNominoTendo la ndoaSentensiUandishi wa ripotiTanganyikaUwanja wa Taifa (Tanzania)Orodha ya nchi za AfrikaNguzo tano za UislamuHistoria ya KanisaNomino za pekeeYouTubeMuhammadHistoria ya KiswahiliJohn MagufuliVieleziBaike: Msaada wa kuanzisha makalaAmri KumiMaalum:MabadalikoyaKaribuniMbooWasukumaMshororoMawasilianoKisaweHafidh AmeirFasihi andishiTarakilishiDizasta VinaLigi ya Mabingwa AfrikaBendera ya TanzaniaSiku tatu kuu za PasakaSimba S.C.Young Africans S.C.UkimwiOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaOrodha ya Marais wa TanzaniaOrodha ya Magavana wa TanganyikaKiraiBaike: AboutOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaTashdidiKitenzi kishirikishiStadi za lughaAsili ya KiswahiliJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaRamaniHistoria ya AfrikaAfrika ya Mashariki ya KijerumaniWilaya za TanzaniaMisimu (lugha)WachaggaMfumo wa JuaAgano la KaleKamusi ya Kiswahili sanifuMziziKwaresimaNomino za dhahaniaKamusiTabianchiAlama ya uakifishaji