Mkesha

Mkesha
Mkesha-milima (Turdus abyssinicus)
Mkesha-milima (Turdus abyssinicus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya:Animalia (Wanyama)
Faila:Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila:Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli:Aves (Ndege)
Oda:Passeriformes (Ndege kama shomoro)
Familia ya juu:Muscicapoidea (Ndege kama shore)
Familia:Turdidae (Ndege walio na mnasaba na mikesha)
Ngazi za chini

Jenasi 24:

  • Alethe Cassin, 1859
  • Brachyperyx Horsfield, 1821
  • Cataponera Hartert, 1896
  • Catharus Bonaparte, 1850
  • Chamaetylas Heine, 1860
  • Chlamydochaera Sharpe, 1887
  • Cichlopsis Cabanis, 1850
  • Cochoa Hodgson, 1836
  • Entomodestes Stejneger, 1883
  • Geokichla Seebohm, 1898
  • Geomalia Stresemann, 1931
  • Grandala Hodgson, 1843
  • Heinrichia Stresemann, 1931
  • Heteroxenicus Sharpe, 1902
  • Hylocichla S.F. Baird, 1864
  • Ixoreus Bonaparte, 1854
  • Myadestes Swainson, 1838
  • Neocossyphus Fischer & Reichenow, 1884
  • Nesocichla Gould, 1855
  • Psophocichla Cabanis, 1860
  • Ridgwayia Stejneger, 1883
  • Sialia Swainson, 1827
  • Stizorhina Oberholser, 1899
  • Turdus Linnaeus, 1758
  • Zoothera Vigors, 1832

Mikesha ni ndege wa familia ya Turdidae ambao ni wadogo na wanono. Spishi za jenasi Neocossyphus na Stizorhina zinaitwa shesiafu pia. Rangi yao kuu ni rangi ya kahawia na madoa meupe na meusi; wengine wana rangi ya machungwa au nyekundu na wengine ni weusi. Hula wadudu hasa lakini wanaweza kula wanyama wadogo wengine, kama koa na nyungunyungu, na hata beri. Wengi wanaweza kuimba vizuri sana. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe na pengine hulawekea matope kwa ndani. Jike huyataga mayai 2-5 yenye vidoa.

Spishi za Afrikahariri

Spishi za mabara menginehariri

Pichahariri

🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoPasakaPasaka ya KikristoAlhamisi kuuAngkor WatOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoFasihi simuliziUbuntuOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaNgeli za nominoTanzaniaFasihiShairiIjumaa KuuMikoa ya TanzaniaLughaHomanyongo CJumuiya ya Afrika MasharikiKamusi za KiswahiliMofimuAina za manenoVivumishiModule:ArgumentsUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaSilabiNembo ya TanzaniaKiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaDiamond PlatnumzOrodha ya makabila ya TanzaniaMaumivu ya kiunoOrodha ya Watakatifu WakristoKitenziDuniaKumaVitendawiliTamthiliaIndonesiaTafsiriNominoTendo la ndoaSentensiUandishi wa ripotiTanganyikaUwanja wa Taifa (Tanzania)Orodha ya nchi za AfrikaNguzo tano za UislamuHistoria ya KanisaNomino za pekeeYouTubeMuhammadHistoria ya KiswahiliJohn MagufuliVieleziBaike: Msaada wa kuanzisha makalaAmri KumiMaalum:MabadalikoyaKaribuniMbooWasukumaMshororoMawasilianoKisaweHafidh AmeirFasihi andishiTarakilishiDizasta VinaLigi ya Mabingwa AfrikaBendera ya TanzaniaSiku tatu kuu za PasakaSimba S.C.Young Africans S.C.UkimwiOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaOrodha ya Marais wa TanzaniaOrodha ya Magavana wa TanganyikaKiraiBaike: AboutOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaTashdidiKitenzi kishirikishiStadi za lughaAsili ya KiswahiliJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaRamaniHistoria ya AfrikaAfrika ya Mashariki ya KijerumaniWilaya za TanzaniaMisimu (lugha)WachaggaMfumo wa JuaAgano la KaleKamusi ya Kiswahili sanifuMziziKwaresimaNomino za dhahaniaKamusiTabianchiAlama ya uakifishaji