Atolli

Atolli ni kisiwa ambacho ni vipya vya matumbawe inayoonekana juu ya uso wa bahari. Mara nyingi umbo ni kama mviringo na kuna bwawa au wangwa wa maji katikati. Pia ukingo huu wa matumbawe umevunjika mara nyingi hivyo inaonekana kama mviringo wa visiwa vidogo na vyembamba.

Kutokea kwa atolii: jinsi matumbawe yanavyokua kando ya mlima unaozama chini

Karibu atolli zote za dunia ziko katika Pasifiki na katika Bahari Hindi. Atlantiki ina atolli chache katika bahari ya Karibi.

Jinahariri

Neno atolli limetokana na lugha ya wenyeji wa Maldivi "atholhu". Limepokewa katika lugha ya Kiingereza likajulikana hasa kutokana na maandiko ya Charles Darwin aliyeeleza visiwa hivi kwa upana pamoja na nadhari jinsi zinavyokua.

Asili na kukua kwa atollihariri

Asili ya atolii huwa kisiwa cha volkeni kilichozama chini ya maji. Matumbawe yaliyokua kando ya kisiwa cha namna hiyo yanaendelea kustawi wakati kisiwa kinazama polepole sana. Hivyo atolli inaendelea kama mkasi wa kukua kwa matumbawe unalingana na mwendo wa kuzama kwa kisiwa chenyewe.

Kuna mifano ya atolli ambako kilele cha mlima wa katika bado inaonekana.

Atolli hatarinihariri

Atolli nyingi za dunia ziko katika hatari ya kupotea kutokana na kupanda kwa uwiano wa bahari.

Mifanohariri

Makala hiyo kuhusu "Atolli" inatumia neno ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio kwa jambo linalotajwa.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Atolli kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoPasakaPasaka ya KikristoAlhamisi kuuAngkor WatOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoFasihi simuliziUbuntuOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaNgeli za nominoTanzaniaFasihiShairiIjumaa KuuMikoa ya TanzaniaLughaHomanyongo CJumuiya ya Afrika MasharikiKamusi za KiswahiliMofimuAina za manenoVivumishiModule:ArgumentsUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaSilabiNembo ya TanzaniaKiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaDiamond PlatnumzOrodha ya makabila ya TanzaniaMaumivu ya kiunoOrodha ya Watakatifu WakristoKitenziDuniaKumaVitendawiliTamthiliaIndonesiaTafsiriNominoTendo la ndoaSentensiUandishi wa ripotiTanganyikaUwanja wa Taifa (Tanzania)Orodha ya nchi za AfrikaNguzo tano za UislamuHistoria ya KanisaNomino za pekeeYouTubeMuhammadHistoria ya KiswahiliJohn MagufuliVieleziBaike: Msaada wa kuanzisha makalaAmri KumiMaalum:MabadalikoyaKaribuniMbooWasukumaMshororoMawasilianoKisaweHafidh AmeirFasihi andishiTarakilishiDizasta VinaLigi ya Mabingwa AfrikaBendera ya TanzaniaSiku tatu kuu za PasakaSimba S.C.Young Africans S.C.UkimwiOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaOrodha ya Marais wa TanzaniaOrodha ya Magavana wa TanganyikaKiraiBaike: AboutOrodha ya Maspika wa Bunge la TanzaniaTashdidiKitenzi kishirikishiStadi za lughaAsili ya KiswahiliJumuiya ya Maendeleo Kusini mwa AfrikaRamaniHistoria ya AfrikaAfrika ya Mashariki ya KijerumaniWilaya za TanzaniaMisimu (lugha)WachaggaMfumo wa JuaAgano la KaleKamusi ya Kiswahili sanifuMziziKwaresimaNomino za dhahaniaKamusiTabianchiAlama ya uakifishaji